URAFIKI KIBIBLIA
    JE, MAAMUZI YA NANI ATAKUWA MWENZI WAKO WA MAISHA NI YA MUNGU AU YA KWAKO?
    Mithali 19:14 “Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; bali mke mwenye busara mtu hupewa na Bwana”. Ni matumaini yangu kwamba u-mzima kijana mwenzangu na una maendeleo mazuri kiroho na kimwili. Katika waraka huu mfupi kwa vijana nataka kujibu swali hili ambalo vijana wengi wamekuwa wakijiuliza. Wengine kutokana na kutojua ukweli wake wamejikuta wakifanya maamuzi ambayo hadi leo wanayajutia . Kibiblia, tunajua kabisa ni mpango wa Mungu tuweze kuoa au kuolewa. Sasa swali...
    Por GOSPEL PREACHER 2021-11-23 07:28:14 0 6K
    URAFIKI KIBIBLIA
    ATHARI ZA NGONO NA JINSI YA KUKABILIANA NAZO NA KUSHINDA
    Kama kuna jambo ambalo wengi wetu hatulijui au tu hatujalitilia maanani ni athari zitokanazo na kufanya ngono nje ya ndoa. Pamoja na kuwa ngono inaharibu maisha ya wengi na kuwatoa wengi wetu nje ya reli ya kufukuzia ndoto zao hata kupoteza matumaini ya kufanikiwa, bado kwa sehemu kubwa hatujatoa uwanja mpana wa kuangazia jambo hili, si kwa watoto wetu na vijana wetu tu bali hata kwetu pia watu wazima.Jamii kubwa na hususani Kanisa la Mungu imelinyamazia swala hili isilizungumzie wazi wazi...
    Por GOSPEL PREACHER 2021-11-07 22:48:01 0 8K
    URAFIKI KIBIBLIA
    JE, NITAJUAJE KAMA YUPO KWA AJILI YA NGONO AU KWA AJILI YA NDOA?
    Hili ni miongoni mwa swali ninaloulizwa na mabinti wengi sana. Kwa hiyo nimeona ni muhimu sana nilijibu.Katika Dunia ya sasa karibu kila kitu kinahusishwa na ngono; matangazo ya biashara karibu yote yanahusishwa na ngono, miziki ya kidunia nayo inahusishwa na ngono, mitindo na uvaaji wa mavazi nao unahusishwa na ngono; na chombo cha ngono pekee kinachotumika katika mambo yote haya ni mwanamke; mwanaume yeye ni kama mtumiaji mlengwa.Katika mazingira haya yote kwa jinsi mwanaume...
    Por GOSPEL PREACHER 2021-11-07 22:23:57 0 6K
    URAFIKI KIBIBLIA
    JINSI YA KUMJUA MWENZI WAKO ALIYEKUSUDIWA NA MUNGU
    Leo napenda tuangalie mambo yatakayokufanya umjue mwenzi wako wa ndoa uliyekusudiwa na Mungu. Wanaume wapo wengi na si kila mwanaume anafaa kuwa mume wako. Wanawake wapo wengi lkn si kila mwanamke anafaa kuwa mke wako. Anayefaa kuwa mume wa mwingine hafai kuwa mume wako, anayefaa kuwa mke wa mwingine hafai kuwa mke wako. Kumbuka, wewe mwanamke hufanani na kila mwanaume, na wala wewe mwanamume hufanani na kila Mwanamke, Mungu anakupa wa kufanana na wewe, tofauti na hapo mwingine unayemtaka...
    Por GOSPEL PREACHER 2021-11-06 13:01:29 0 6K
    URAFIKI KIBIBLIA
    KANUNI 7 ZA KUANZISHA NA KUENDESHA URAFIKI
    Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja; ….kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua! Mfalme Sulemani (Mhubiri 4:9,10)“Niko radhi nitembee gizani nikiwa na rafiki, kuliko kutembea nuruni nikiwa mwenyewe”-Helen Keller KwanzaSafari ya maisha imekufikisha wapi? Ugenini mbali na marafiki wa zamani? Ndiyo tu umetua katika chuo kigeni au kituo kipya cha kazi? Umezungukwa na nyuso nyingi...
    Por GOSPEL PREACHER 2021-11-06 10:47:13 0 6K
    URAFIKI KIBIBLIA
    MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOCHAGUA MWENZI
    Mambo ya kuzingatia katika kuchagua mwenzi wa maisha Ikiwa wale wanaokusudia kuoana hawataki kuwa na mashaka mengi wala kuwa na mambo kadha wa kadha ya kuwanyima furaha baada ya kufunga ndoa, imewalazimu kufikiria vyema na kwa moyo wote juu ya jambo hili na kwa wakati huu kabla ya kuoana. Ikiwa hatua hii itafanywa kipumbavu, itakuwa mojawapo ya mambo makuu mno yawezayo kuharibu mafao ya mvulana ama msichana wawapo wamekwisha kuoana. Kwao maisha yataonekana kuwa kama mzigo wa laana. Kaitka...
    Por GOSPEL PREACHER 2021-11-06 10:27:57 0 5K
Blogs
Leia Mais
OTHERS
WAISLAM NAOMBENI MAJIBU KATIKA UTATA HUU WA AYA ZA QURAN!!!
Kila nikiulizaga maswali kwa ndugu zetu waislam hawanijibu,wanachokifanya ni kubadilisha mada tu...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 19:23:04 0 5K
Injili Ya Yesu Kristo
Mtu ambaye amemwamini Yesu lakini akafa bila kubatizwa je! atenda mbinguni?
JIBU: Inategemea kama hapo kabla alishausikia ukweli au la, kwa mfano kama mtu alishaufahamu...
Por GOSPEL PREACHER 2022-03-29 23:47:51 0 5K
OTHERS
Je Korani inawasifia Wakristo?
Wakristo wamo ndani ya Korani, na mara nyingi wanaitwa “Watu wa Kitabu kile” Huu ni...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 06:30:25 0 5K
Religion
MASWALI NA MAJIBU KUHUSU DHAMBI YA KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU
Kumekuwepo na mijadala mingi kila mahali na pia kumewepo na maoni mengi ya watu na mawao tofauti...
Por GOSPEL PREACHER 2021-08-24 13:00:08 0 7K
OTHERS
ETI ALLAH AMEKUBALI KUTOA USHAIDI KWA VIUMBE VYAKE?
Je, nani atakuwa Hakimu wakati Allah anatoa Ushaidi?NDUGU WASOMAJI, Hivi Allah anaweza kuwa...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 02:24:46 0 5K