MUHAMMAD NI MTUME BANDIA

0
5K
1. Hakutumwa na Mungu
2. Alipewa Utume na Mkewe
3. Alichezewa na Mashetani tokea utoto wake
Leo ningependa tujikumbushe mambo machache ambayo labda hatukuyatilia maanani. Mitume wote na manabii wote wa Biblia waliwai ongea na Mungu. Lakini, Mtume wa Allah "Muhammad" hakuwai ongea na Mungu HATA MARA MOJA. Je, utume wake tutauamini vipi maana hakuwai ongea na aliye mtuma?
Ndugu zanguni, huu ni msiba mwingine kwa Waislam. Hebu tuanze moja kwa moja kwa ushahidi kuhusu huyu Mtume wa Allah aliyeitwa Muhammad.
 
MAANA YA NENO/JINA "MTUME"Neno “mtume” lamaanisha mwanafunzi au mfuasi. Neno “mtume” la maanisha “mtu aliyetumwa”
SASA BASI, hakuna aya hata Moja katika Quran inayosema kuwa Muhammad aliwai ongea na Allah aliye mmpa Utume. Sasa basi, huu utume wa Muhammad alipewa na nani? Maana Allah hakuwai mpa utume .
 
MUHAMMAD APEWA UTUME NA MKEWE ILI KUMFARIJI!Pale pale bibi Khadija akamdakiza, akamwambia, "Wacha hayo siyo yatakayokuwa hayo, wewe huwezi kuchezewa na mashetani, shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako, wewe unatazama vema Jamaa zako, unawadhihirisha watu sifa nzuri, ambazo hukuwa mwenye nazo, unachukua mizigo ya watu wasiokuwa wako, unafanya hivi, unafanyi hivi, furahi ndugu yangu, pumua moyo wako, Wallahi mimi mkeo naona umekwisha kuwa mtume."
Endelea kusoma,
Je, Mungu alisha wai mmpa mtu Utume ambaye alipagawa na Mashetani?
 
MUHAMMAD ALIZALIWA NA KUCHEZEWA NA MASHETANI TOKEA UTOTO WAKEI!1.ALIZALIWA NA SHETANI,
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa "Mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa na shetani tangu alipozaliwa, (Fat'hul Baary Juzuu ya 6 Uk. 389)
2.ALICHEZEWA NA MASHETANI,
Basi Mtume akafanya khofu, akarejea kwa mkewe, akamhadithia, na pale pale homa kubwa kabisa, ikampanda, akataka afunikwe maguo, akawa anatetemeka kwa ngerema, na kuweweseka, na kusema, "Najikhofia nafsi yangu, kuchezewa na mashetani, na kuniharibu akili yangu na kunizuga" (Kitabu cha wakeze Mtume wakubwa na wanawe, uk. 12).
 
HAKUTUMWA NA MUNGU ILA ALITUMWA NA MASHETANI KUJA KUWAPOTEZA WAISLAMU !
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini hakuongea na Mungu?
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Pesquisar
Categorias
Leia Mais
JOB
Verse by verse explanation of Job 31
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 27 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-03 04:08:45 0 6K
Injili Ya Yesu Kristo
KWANINI YUDA ESKARIOT ALIMSALITI YESU KRISTO?
Wakati hatuwezi kuwa na hakika kabisa kwa nini Yuda alimsaliti Yesu, baadhi ya mambo fulani ni...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 21:11:44 0 5K
SPIRITUAL EDUCATION
Why Do Bad Things Happen To Good People?
If God is completely in control, why do our lives sometimes not turn out as planned? If God is...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 02:22:09 0 5K
OTHERS
UTATA MKUMBWA NDANI YA KORAN: Nini kitaingia PEPONI: Roho/Nafsi au Mwili au zote mbili?
Somo letu la leo ni la swali kwa Allah ambaye ameshindwa kujieleza, kuwa ni kipi kinaingia Peponi...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 08:30:26 0 5K
HOLY BIBLE
HOW RICH WAS KING SOLOMON?
  Exactly how rich was King Solomon? How much gold did he possess? Did God make him...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 19:33:13 0 7K