MUHAMMAD NI MTUME BANDIA

0
5χλμ.
1. Hakutumwa na Mungu
2. Alipewa Utume na Mkewe
3. Alichezewa na Mashetani tokea utoto wake
Leo ningependa tujikumbushe mambo machache ambayo labda hatukuyatilia maanani. Mitume wote na manabii wote wa Biblia waliwai ongea na Mungu. Lakini, Mtume wa Allah "Muhammad" hakuwai ongea na Mungu HATA MARA MOJA. Je, utume wake tutauamini vipi maana hakuwai ongea na aliye mtuma?
Ndugu zanguni, huu ni msiba mwingine kwa Waislam. Hebu tuanze moja kwa moja kwa ushahidi kuhusu huyu Mtume wa Allah aliyeitwa Muhammad.
 
MAANA YA NENO/JINA "MTUME"Neno “mtume” lamaanisha mwanafunzi au mfuasi. Neno “mtume” la maanisha “mtu aliyetumwa”
SASA BASI, hakuna aya hata Moja katika Quran inayosema kuwa Muhammad aliwai ongea na Allah aliye mmpa Utume. Sasa basi, huu utume wa Muhammad alipewa na nani? Maana Allah hakuwai mpa utume .
 
MUHAMMAD APEWA UTUME NA MKEWE ILI KUMFARIJI!Pale pale bibi Khadija akamdakiza, akamwambia, "Wacha hayo siyo yatakayokuwa hayo, wewe huwezi kuchezewa na mashetani, shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako, wewe unatazama vema Jamaa zako, unawadhihirisha watu sifa nzuri, ambazo hukuwa mwenye nazo, unachukua mizigo ya watu wasiokuwa wako, unafanya hivi, unafanyi hivi, furahi ndugu yangu, pumua moyo wako, Wallahi mimi mkeo naona umekwisha kuwa mtume."
Endelea kusoma,
Je, Mungu alisha wai mmpa mtu Utume ambaye alipagawa na Mashetani?
 
MUHAMMAD ALIZALIWA NA KUCHEZEWA NA MASHETANI TOKEA UTOTO WAKEI!1.ALIZALIWA NA SHETANI,
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa "Mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa na shetani tangu alipozaliwa, (Fat'hul Baary Juzuu ya 6 Uk. 389)
2.ALICHEZEWA NA MASHETANI,
Basi Mtume akafanya khofu, akarejea kwa mkewe, akamhadithia, na pale pale homa kubwa kabisa, ikampanda, akataka afunikwe maguo, akawa anatetemeka kwa ngerema, na kuweweseka, na kusema, "Najikhofia nafsi yangu, kuchezewa na mashetani, na kuniharibu akili yangu na kunizuga" (Kitabu cha wakeze Mtume wakubwa na wanawe, uk. 12).
 
HAKUTUMWA NA MUNGU ILA ALITUMWA NA MASHETANI KUJA KUWAPOTEZA WAISLAMU !
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini hakuongea na Mungu?
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,
Mungu awabariki sana,
Αναζήτηση
Κατηγορίες
Διαβάζω περισσότερα
SPIRITUAL EDUCATION
WANYAMA SABA 7 KATIKA KITABU CHA DANIEL
1.Tafsiri ya unabii wa hicho kitabu cha Daniel 2.Kuhusu kanisa la Leo.Hivyo sisi kanisa la Leo...
από Martin Laizer 2023-09-22 07:26:51 4 31χλμ.
MAHUSIANO KIBIBLIA
JINSI YA KUISHINDA DHAMBI YA TAMAA ZA MWILI
WAGALATIA 5:16-17:-"Basi nasema, ENENDENI KWA ROHO, WALA HAMTAZITIMIZA KAMWE TAMAA ZA MWILI. Kwa...
από GOSPEL PREACHER 2021-11-19 07:10:57 0 7χλμ.
FORM 1
CHEMISTRY : FORM 1
List of all topics in Chemistry for form 1 class: CLICK HERE TO DOWNLOAD. THE CONCEPT OF...
από PROSHABO ONLINE SCHOOLS 2021-10-30 06:21:30 0 6χλμ.
OTHERS
Kutoka Kwenye Uislamu Hadi Kwenye Ukristo
Jina langu ni Tahir na hii ni safari yangu kutoka kwenye Uislamu hadi kwenye Ukristo. Mara baada...
από MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 04:07:45 0 5χλμ.
OTHERS
ALIYE TABIRIWA KWENYE KUMBUKUMBU YA TORATI NI YESU AU MUHAMMAD?
Katika Kumbukumbu 18:17-18; 33:1-2, na 34:10-11, ni Muhammad aliyetabiriwa hapa, kama baadhi ya...
από MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:40:09 0 7χλμ.