KARIBU PROSHABO.COM TUHUBIRI INJILI PAMOJA

3
6K

KWA MASWALI AU MAONI, BONYEZA HAPA?

Bwana Yesu asifiwe!! Karibu sana PROSHABO.COM, kwa pamoja tunaweza kuhubiri injili ya Kristo Yesu na tukavuna mavuno mengi. Kama bado hujajisajili ili kujumuika nasi, basi unaweza [KUJISAJILI LEO KWA BONYEZA HAPA] au kwa nakili kiungo hiki: https://proshabo.com/signup kwenye kivinjari chako.

Ikiwa unahitaji kujifunza zaidi kuhusu NENO LA MUNGU (Yesu Kristo), au ikiwa unahitaji kuhubiri injili kwa mataifa yote (Marko 16: 15-16); basi Proshabo.com ndio mahali sahihi zaidi kwako. Karibu sana na Mungu akubariki. Katika jukwaa hili, MARA BAADA YA KUKAMILISHA USAJILI WAKO, basi utakuwa na uwezo wa kufanya vitu vingi zaidi lakini baadhi ya vitu hivyo ni kama ifuatavyo :

MUHIMU: BAADHI YA VIUNGO/LINKS VITAKUPELEKA SEHEMU HUSIKA KAMA UMEJISAJILI NA UMEINGIA KATIKA AKAUNTI YAKO, VINGINEVYO UTAPELEKWA KWANZA KWENYE UKARASA WA WA NYUMBANI ILI UWEZE KUINGIA KATIKA AKAUNTI AU UWEZE KUJISAJILI.
  1. Kupata Marafiki Wapya (Bonyeza hapa): Katika Proshabo.com unaweza kupata marafiki wapya, pia unaweza kuwasaidia marafiki hawa kukujua vizuri na kuwaonyesha kile mnachofanana.
  2. Kuchapisha Machapisho (Bonyeza hapa): Wanachama wa Proshabo.com, wanaweza kuona kila mtu ana nini na mawazoni yake, kutokana na machapisho mbalimbali wanayoyapisha mtandaoni.
  3. Kurasa (Bonyeza hapa): Unaweza kuunda kurasa zisizo na kikomo ili kamwe usipitwe na kitu! Endelea kuwasiliana na wafuasi wako pamoja na wateja wako.
  4. Vikundi (Bonyeza hapa): Unaweza kuanzisha vikundi ili kuwasiliana na kushirikiana na watu wanaoshiriki masilahi yako.
  5. Matukio (Bonyeza hapa): Wanachama wanaweza kuandaa hafla za jamii zinazoweza kufanywa mtandaoni na nje ya mtandao.
  6. Ofa (Bonyeza hapa): Pata ofa bora ambazo unaweza kununua.
  7. Ajira (Bonyeza hapa): Je unatafuta ajira! Unaweza kupata ajira hapa.
  8. Blogi (Bonyeza hapa kuona machapisho): au (bonyeza hapa kuchapisha chapisho jipya) Shiriki mawazo, maoni na kuunda maudhui ya kushangaza.
  9. Soko (Bonyeza hapa)Soko la jamii la kuaminika ambalo wanachama wanaweza kuchapisha na kuviuza kwa njia ya mtandao
  10. Ufadhili-Funding (Bonyeza hapa): Proshabo.com imefanya iwe rahisi kusaidia marafiki, familia na sababu ambazo ni muhimu kwako.
  11. Mabaraza-Forums (Bonyeza hapa): Pata nafasi ya kuanzisha mada au kuchangia mada ambazo tayari zimeshachapishwa mtandaoni, kumbuka mawazo yako yanaweza kumsaidia mtu leo au kesho.
  12. Sinema (Bonyeza hapa): Kuangalia sinema huwa za kufurahisha kila wakati, Proshabo.com inakupatia fursa ya kuangalia sinema zitakazokujenga kiroho na kiuchumi
  13. Michezo (Bonyeza hapa): Kucheza michezo kila wakati inafurahisha, Proshabo.com inakupatia fursa ya kucheza na watu wanaoshiriki masilahi yako

Waliobarikiwa ni wale wanaomwamini na kumfuata Yesu Kristo, Proshabo.com itamsaidia mtu yeyote kufanya hivi ilimradi yuko tayari kuwa miongoni mwa waliobarikiwa.

Like
Love
4
Site içinde arama yapın
Kategoriler
Read More
2 SAMUEL
Verse by verse explanation of 2 Samuel 16
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 26 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-02-05 09:54:05 0 5K
1 SAMUEL
Verse by verse explanation of 1 Samuel 22
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 33 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-26 03:59:09 0 5K
OTHERS
MUHAMMAD NI MTUME BANDIA
1. Hakutumwa na Mungu2. Alipewa Utume na Mkewe3. Alichezewa na Mashetani tokea utoto wake Leo...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 05:33:15 0 5K
DEUTERONOMY
Verse by verse explanation of Deuteronomy 14
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 26 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-25 06:06:45 0 5K
OTHERS
MUHAMMAD ALIKUWA NA DHAMBI KUBWA KIASI CHA KUOMBA MSAMAHA MARA MIA KWA SIKU
Dhambi kubwa Katika "Sahih Muslim, Kitabu 35, 6522 Idadi" inasema kwamba Muhammad alikuwa...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 05:14:15 0 4K