• MR AND MRS PASTOR DADDY FROM MOUNT CARMEL REVELATION CHURCH INTERNATIONAL AT MACHIMBO,TEMEKE DAR ES SALAAM.
    TUJITAHIDI KUWEKEZA KWA MUNGU WA MBINGUNI ALIYETULETEA UKOMBOZI KUPITIA YESU KWA KUFANYA MAPENZI YAKE ILI TUDUMU MILELE PAMOJA NA YEYE KUPITIA KRISTO YESU.
    MR AND MRS PASTOR DADDY FROM MOUNT CARMEL REVELATION CHURCH INTERNATIONAL AT MACHIMBO,TEMEKE DAR ES SALAAM. TUJITAHIDI KUWEKEZA KWA MUNGU WA MBINGUNI ALIYETULETEA UKOMBOZI KUPITIA YESU KWA KUFANYA MAPENZI YAKE ILI TUDUMU MILELE PAMOJA NA YEYE KUPITIA KRISTO YESU.
    Love
    2
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 1K Views 0 önizleme
  • Ahsante MUNGU WA mbinguni mwaka wa kwanza tumefikisha tokea safari yetu ilipoanza tarehe 11 mwenz wa 12
    Ahsante sana BWANA YESU WANGU.
    Ahsante MUNGU WA mbinguni mwaka wa kwanza tumefikisha tokea safari yetu ilipoanza tarehe 11 mwenz wa 12 Ahsante sana BWANA YESU WANGU.
    Love
    Like
    3
    1 Yorumlar 0 hisse senetleri 3K Views 87 0 önizleme
  • Mchezo ni mtego mkubwa wa shetani na sasa wameingia Hadi watumishi wa Mungu,mbaya zaidi makanisa sasa Yana timu za Moira wakasahau Andiko hili la warumi 12:1-3 "...msienende kwa jinsi ya Ulimwengu huu..."
    Mchezo ni mtego mkubwa wa shetani na sasa wameingia Hadi watumishi wa Mungu,mbaya zaidi makanisa sasa Yana timu za Moira wakasahau Andiko hili la warumi 12:1-3 "...msienende kwa jinsi ya Ulimwengu huu..."
    KUWA SHABIKI WA MPIRA NI KUMWABUDU SHETANI, JIEPUSHE NA HILI.

    https://m.youtube.com/watch?v=OC9WR7YtqUE
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 902 Views 0 önizleme
  • YAFAA ZAIDI KUYAFAHAMU HAYA, NI SOMO AMBALO LINAPATIKANA YOU TUBE YA @Baraka Vedastus likizungumza KWANINI WANAWAKE WENGI WAMEFUNGWA NA NGUVU ZA GIZA KULIKO WANAUME? na hii ni sehemu katika sehemu ya pili ya somo.
    Asomaye na Afahamu.
    YAFAA ZAIDI KUYAFAHAMU HAYA, NI SOMO AMBALO LINAPATIKANA YOU TUBE YA @Baraka Vedastus likizungumza KWANINI WANAWAKE WENGI WAMEFUNGWA NA NGUVU ZA GIZA KULIKO WANAUME? na hii ni sehemu katika sehemu ya pili ya somo. Asomaye na Afahamu.
    Like
    1
    1 Yorumlar 0 hisse senetleri 2K Views 148 0 önizleme
  • MAKUHANI WA KIFALME MILKI YA MUNGU NAWAOMBENI MAJIBU YA SWALI LANGU,,,,,,,,
    KWANINI WOKOVU NI MGUMU INGAWA WENGI WANAONA KAWAIDA KUWA NA WOKOVU???
    MAKUHANI WA KIFALME MILKI YA MUNGU NAWAOMBENI MAJIBU YA SWALI LANGU,,,,,,,, KWANINI WOKOVU NI MGUMU INGAWA WENGI WANAONA KAWAIDA KUWA NA WOKOVU???
    Love
    Like
    3
    2 Yorumlar 0 hisse senetleri 2K Views 0 önizleme
  • Ambacho natambua kanisa lipo kwa ajiri ya tiba ya Roho na hospital kwa ajiri ya magonjwa ya mwilli,tukitambua hivyo hatutakuja kuwa wazembe kupata matibabu ya Roho zetu kama tunavyoishughilikia miili yetu mahospitali kupata tiba❤️ 💞 💞
    Ambacho natambua kanisa lipo kwa ajiri ya tiba ya Roho na hospital kwa ajiri ya magonjwa ya mwilli,tukitambua hivyo hatutakuja kuwa wazembe kupata matibabu ya Roho zetu kama tunavyoishughilikia miili yetu mahospitali kupata tiba❤️ 💞 💞
    Like
    Love
    2
    3 Yorumlar 0 hisse senetleri 2K Views 0 önizleme
  • Tazama ilivyo vyema ndugu wakae pamoja kwa umoja,ni familia inayojibidiisha kupata uzima wa milele kwa njia ya YESU KRISTO..Ukitupenda sote ni vyema zaidi.
    Maana ni kwa faida Yako.MUNGU HANA HASARA KWA MAANA AMEJITOSHELEZA.
    Tazama ilivyo vyema ndugu wakae pamoja kwa umoja,ni familia inayojibidiisha kupata uzima wa milele kwa njia ya YESU KRISTO..Ukitupenda sote ni vyema zaidi. Maana ni kwa faida Yako.MUNGU HANA HASARA KWA MAANA AMEJITOSHELEZA.
    Love
    2
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 3K Views 0 önizleme
  • Maisha ya kushindana yanaharibu UWEPO WA MUNGU JAMAN SASA IKIWA MUNGU WETU HASHINDANI NA ALIYETAKA KUMPINDUA HUKO MBINGUNI NA AKAMWACHA HAPA DUNIANI,TULIOMPOKEA YESU INAKUWAJE SASA TENA SISI KWA SISI
    Maisha ya kushindana yanaharibu UWEPO WA MUNGU JAMAN SASA IKIWA MUNGU WETU HASHINDANI NA ALIYETAKA KUMPINDUA HUKO MBINGUNI NA AKAMWACHA HAPA DUNIANI,TULIOMPOKEA YESU INAKUWAJE SASA TENA SISI KWA SISI
    Love
    2
    4 Yorumlar 0 hisse senetleri 2K Views 0 önizleme
  • Acha magugu na ngano vikue pamoja,wacha nitafute kwa bidii kuwa na amani na watu wote maana hakuna atakae Muona MUNGU pasipokuwa na UTAKATIFU WA KULIISHIA NENO LA BWANA NA WALA SIO KULISIKILIZA PASIPO MATUNDA YA KULIFANYA LIWE MAISHA YAKO NENO LA MUNGU...
    Acha magugu na ngano vikue pamoja,wacha nitafute kwa bidii kuwa na amani na watu wote maana hakuna atakae Muona MUNGU pasipokuwa na UTAKATIFU WA KULIISHIA NENO LA BWANA NA WALA SIO KULISIKILIZA PASIPO MATUNDA YA KULIFANYA LIWE MAISHA YAKO NENO LA MUNGU...
    Like
    Love
    2
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 3K Views 0 önizleme
  • Sio wakati wa kujilinganisha na wala sio wa kupima kazi zetu Huyu anafanyaje au yule anatumikaje maana yote yatafanyika mbele ya Kiti cha hukumu,shetani asitupotezee muda kwa mambo yasiyo na faida wala maana yoyote maana ni kujichosha akili,mwili na roho tu...muda ni mchache na mambo ni mengi ukitaka kumuona Mungu ni lazima ugeuze hiyo kanuni muda wako uwe mwingi wa Kumtafuta Mungu na mambo yako ya kimwili yawe machache..
    Ni lazima ujitambue ipasavyo ili kazi yako isiwe ya bure ukaishia kuteseka na waliomkataa Yesu kwa kutokumwamini wala kumpokea.Nakupenda sana Mtumishi wa Bwana licha ya kuwahubiria wengine pia nasi tusiache kukumbushana na kujengana ili Tukue kiimani hata kufikia kimo cha KRISTO.DUNIA NA VYOTE VIUJAZAVYO DUNIA NI MALI YA BWANA UKITAMBUA HILI HAUTAJITUMAINIA KWA JAMBO LOLOTE BALI UTAMKUMBUKA MUUMBA WAKO ALIYEKUPA NGUVU YA KUWA NAVYO ULIVYONAVYO NA VITAKUFANYA UMNYENYEKEE NA UMTUMIKIE YEYE SIKU ZOTE ZA UHAI WA MAISHA YAKO.
    MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI SANA.
    Sio wakati wa kujilinganisha na wala sio wa kupima kazi zetu Huyu anafanyaje au yule anatumikaje maana yote yatafanyika mbele ya Kiti cha hukumu,shetani asitupotezee muda kwa mambo yasiyo na faida wala maana yoyote maana ni kujichosha akili,mwili na roho tu...muda ni mchache na mambo ni mengi ukitaka kumuona Mungu ni lazima ugeuze hiyo kanuni muda wako uwe mwingi wa Kumtafuta Mungu na mambo yako ya kimwili yawe machache.. Ni lazima ujitambue ipasavyo ili kazi yako isiwe ya bure ukaishia kuteseka na waliomkataa Yesu kwa kutokumwamini wala kumpokea.Nakupenda sana Mtumishi wa Bwana licha ya kuwahubiria wengine pia nasi tusiache kukumbushana na kujengana ili Tukue kiimani hata kufikia kimo cha KRISTO.DUNIA NA VYOTE VIUJAZAVYO DUNIA NI MALI YA BWANA UKITAMBUA HILI HAUTAJITUMAINIA KWA JAMBO LOLOTE BALI UTAMKUMBUKA MUUMBA WAKO ALIYEKUPA NGUVU YA KUWA NAVYO ULIVYONAVYO NA VITAKUFANYA UMNYENYEKEE NA UMTUMIKIE YEYE SIKU ZOTE ZA UHAI WA MAISHA YAKO. MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI SANA.
    Like
    1
    0 Yorumlar 0 hisse senetleri 4K Views 0 önizleme
Arama Sonuçları
Sponsorluk
[Repenting + Holiness = Entering Heaven / Kutubu + Utakatifu = Kuingia Mbinguni].