• ELIYA ALIMTHIBITISHA MUNGU WA KWELI ALIPOTHIBITISHWA DHIDI YA MIUNGU BAHARI ELIYA ALIMTHIBITISHA MUNGU WA KWELI NA NDIO JUKUM TULILOPEWA KUITHIBITISHA NA KUIHUBIRI INJIRI YA KWELI ALIYOTUPATIA KRISTO YESU.
    ELIYA ALIMTHIBITISHA MUNGU WA KWELI ALIPOTHIBITISHWA DHIDI YA MIUNGU BAHARI ELIYA ALIMTHIBITISHA MUNGU WA KWELI NA NDIO JUKUM TULILOPEWA KUITHIBITISHA NA KUIHUBIRI INJIRI YA KWELI ALIYOTUPATIA KRISTO YESU.
    Like
    1
    0 Kommentare 0 Geteilt 356 Ansichten 0 Bewertungen
  • MR AND MRS PASTOR DADDY FROM MOUNT CARMEL REVELATION CHURCH INTERNATIONAL AT MACHIMBO,TEMEKE DAR ES SALAAM.
    TUJITAHIDI KUWEKEZA KWA MUNGU WA MBINGUNI ALIYETULETEA UKOMBOZI KUPITIA YESU KWA KUFANYA MAPENZI YAKE ILI TUDUMU MILELE PAMOJA NA YEYE KUPITIA KRISTO YESU.
    MR AND MRS PASTOR DADDY FROM MOUNT CARMEL REVELATION CHURCH INTERNATIONAL AT MACHIMBO,TEMEKE DAR ES SALAAM. TUJITAHIDI KUWEKEZA KWA MUNGU WA MBINGUNI ALIYETULETEA UKOMBOZI KUPITIA YESU KWA KUFANYA MAPENZI YAKE ILI TUDUMU MILELE PAMOJA NA YEYE KUPITIA KRISTO YESU.
    Love
    2
    0 Kommentare 0 Geteilt 241 Ansichten 0 Bewertungen
  • KRISTO YESU NI BWANA
    KRISTO YESU NI BWANA
    Like
    Love
    2
    0 Kommentare 0 Geteilt 756 Ansichten 0 Bewertungen
  • Tunawasalimu kipitia jina la Yesu Kristo...
    Mnaendeleaje watumishi wa BWANA.
    Tunawasalimu kipitia jina la Yesu Kristo... Mnaendeleaje watumishi wa BWANA.
    Love
    1
    3 Kommentare 0 Geteilt 693 Ansichten 0 Bewertungen
  • Bwana YESU KRISTO apewe sifa
    Umu ndan wachoyo wapo kimya duh.kweli upendo wa wengi utapoa.
    Hatupeani mialiko.nasubiri mwaliko .nione wangap wananipenda
    Bwana YESU KRISTO apewe sifa Umu ndan wachoyo wapo kimya duh.kweli upendo wa wengi utapoa. Hatupeani mialiko.nasubiri mwaliko .nione wangap wananipenda
    Love
    2
    6 Kommentare 0 Geteilt 1KB Ansichten 0 Bewertungen
  • Ahsante MUNGU WA mbinguni mwaka wa kwanza tumefikisha tokea safari yetu ilipoanza tarehe 11 mwenz wa 12
    Ahsante sana BWANA YESU WANGU.
    Ahsante MUNGU WA mbinguni mwaka wa kwanza tumefikisha tokea safari yetu ilipoanza tarehe 11 mwenz wa 12 Ahsante sana BWANA YESU WANGU.
    Love
    Like
    3
    1 Kommentare 0 Geteilt 1KB Ansichten 87 0 Bewertungen
  • Tazama ilivyo vyema ndugu wakae pamoja kwa umoja,ni familia inayojibidiisha kupata uzima wa milele kwa njia ya YESU KRISTO..Ukitupenda sote ni vyema zaidi.
    Maana ni kwa faida Yako.MUNGU HANA HASARA KWA MAANA AMEJITOSHELEZA.
    Tazama ilivyo vyema ndugu wakae pamoja kwa umoja,ni familia inayojibidiisha kupata uzima wa milele kwa njia ya YESU KRISTO..Ukitupenda sote ni vyema zaidi. Maana ni kwa faida Yako.MUNGU HANA HASARA KWA MAANA AMEJITOSHELEZA.
    Love
    2
    0 Kommentare 0 Geteilt 2KB Ansichten 0 Bewertungen
  • Maisha ya kushindana yanaharibu UWEPO WA MUNGU JAMAN SASA IKIWA MUNGU WETU HASHINDANI NA ALIYETAKA KUMPINDUA HUKO MBINGUNI NA AKAMWACHA HAPA DUNIANI,TULIOMPOKEA YESU INAKUWAJE SASA TENA SISI KWA SISI
    Maisha ya kushindana yanaharibu UWEPO WA MUNGU JAMAN SASA IKIWA MUNGU WETU HASHINDANI NA ALIYETAKA KUMPINDUA HUKO MBINGUNI NA AKAMWACHA HAPA DUNIANI,TULIOMPOKEA YESU INAKUWAJE SASA TENA SISI KWA SISI
    Love
    2
    4 Kommentare 0 Geteilt 955 Ansichten 0 Bewertungen
  • Sio wakati wa kujilinganisha na wala sio wa kupima kazi zetu Huyu anafanyaje au yule anatumikaje maana yote yatafanyika mbele ya Kiti cha hukumu,shetani asitupotezee muda kwa mambo yasiyo na faida wala maana yoyote maana ni kujichosha akili,mwili na roho tu...muda ni mchache na mambo ni mengi ukitaka kumuona Mungu ni lazima ugeuze hiyo kanuni muda wako uwe mwingi wa Kumtafuta Mungu na mambo yako ya kimwili yawe machache..
    Ni lazima ujitambue ipasavyo ili kazi yako isiwe ya bure ukaishia kuteseka na waliomkataa Yesu kwa kutokumwamini wala kumpokea.Nakupenda sana Mtumishi wa Bwana licha ya kuwahubiria wengine pia nasi tusiache kukumbushana na kujengana ili Tukue kiimani hata kufikia kimo cha KRISTO.DUNIA NA VYOTE VIUJAZAVYO DUNIA NI MALI YA BWANA UKITAMBUA HILI HAUTAJITUMAINIA KWA JAMBO LOLOTE BALI UTAMKUMBUKA MUUMBA WAKO ALIYEKUPA NGUVU YA KUWA NAVYO ULIVYONAVYO NA VITAKUFANYA UMNYENYEKEE NA UMTUMIKIE YEYE SIKU ZOTE ZA UHAI WA MAISHA YAKO.
    MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI SANA.
    Sio wakati wa kujilinganisha na wala sio wa kupima kazi zetu Huyu anafanyaje au yule anatumikaje maana yote yatafanyika mbele ya Kiti cha hukumu,shetani asitupotezee muda kwa mambo yasiyo na faida wala maana yoyote maana ni kujichosha akili,mwili na roho tu...muda ni mchache na mambo ni mengi ukitaka kumuona Mungu ni lazima ugeuze hiyo kanuni muda wako uwe mwingi wa Kumtafuta Mungu na mambo yako ya kimwili yawe machache.. Ni lazima ujitambue ipasavyo ili kazi yako isiwe ya bure ukaishia kuteseka na waliomkataa Yesu kwa kutokumwamini wala kumpokea.Nakupenda sana Mtumishi wa Bwana licha ya kuwahubiria wengine pia nasi tusiache kukumbushana na kujengana ili Tukue kiimani hata kufikia kimo cha KRISTO.DUNIA NA VYOTE VIUJAZAVYO DUNIA NI MALI YA BWANA UKITAMBUA HILI HAUTAJITUMAINIA KWA JAMBO LOLOTE BALI UTAMKUMBUKA MUUMBA WAKO ALIYEKUPA NGUVU YA KUWA NAVYO ULIVYONAVYO NA VITAKUFANYA UMNYENYEKEE NA UMTUMIKIE YEYE SIKU ZOTE ZA UHAI WA MAISHA YAKO. MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI SANA.
    Like
    1
    0 Kommentare 0 Geteilt 3KB Ansichten 0 Bewertungen
  • Utahesabiwa HAKI kwa IMANI yako isiyobadilika bali yenye msimamo thabiti ukijua unaemtumikia na kuzizingatia sheria,mausia na hukumu zake maana afanyaye hayo huyo ndio anampenda Mungu wala sio anayeimba sana wala kuhubiri sana usipokuwa sawa utajikuta unakuwa daraja wanavuka wenzio wewe unabaki hapo ukutane na ghazabu yake. MUNGU Sio wa mchezo wala adhihakiwi na hauwezi kumficha chochote na ndio maana utakachopanda ndicho utakachovuna....Be care maana sio wote wanaoita BWANA watarithi uzima wa milele kwa maana neno linasema uliitapo jina la BWANA na auache uovu,Na sio wote wanaozingatia hilo...BWANA YESU ATUSAIDIE SANA
    Utahesabiwa HAKI kwa IMANI yako isiyobadilika bali yenye msimamo thabiti ukijua unaemtumikia na kuzizingatia sheria,mausia na hukumu zake maana afanyaye hayo huyo ndio anampenda Mungu wala sio anayeimba sana wala kuhubiri sana usipokuwa sawa utajikuta unakuwa daraja wanavuka wenzio wewe unabaki hapo ukutane na ghazabu yake. MUNGU Sio wa mchezo wala adhihakiwi na hauwezi kumficha chochote na ndio maana utakachopanda ndicho utakachovuna....Be care maana sio wote wanaoita BWANA watarithi uzima wa milele kwa maana neno linasema uliitapo jina la BWANA na auache uovu,Na sio wote wanaozingatia hilo...BWANA YESU ATUSAIDIE SANA
    Like
    Love
    2
    2 Kommentare 0 Geteilt 3KB Ansichten 0 Bewertungen
Weitere Ergebnisse
Gesponsert
[Repenting + Holiness = Entering Heaven / Kutubu + Utakatifu = Kuingia Mbinguni].