MBINGUNI, PEPONI, KUZIMU NA JEHANNAM NI WAPI?
Mpendwa mmoja aliniuliza maswali yafuatayo ambayo nimeona ni muhimu niyajibu kama Makala fupi kwa ajili hata ya faida ya watu wengine wenye maswali kama haya:
Swali la 1: Hivi watu wakifa, roho zao zinakuwa wapi hasa?
Swali la 2: Roho hizo zinakuwa katika hali gani hasa?
WATU WAKIFA, ROHO ZAO ZINAKUWA WAPI?
Biblia inasema kuhusu Bwana Yesu kuwa:
Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno,...