VIOJA VYA MUHAMMAD: ETI MAITI YA KIISLAMU INA UFAHAMU. NA INAJUA NANI ANAIBEBA

0
5كيلو بايت
Kasema Mtume (S.a.w)
“Hakika maiti anajua nani anaembeba, na nani anaemuosha, na nani anaemtia kaburini mwake” (Mweli Mwaminifu, Juzuu ya 1-2, Hadithi Na. 422, Uk. 188)
 
MWAMDISHI SHEIKH SAID MOOSA MOHAMED AL-KINDY
Hivi jamani unaposema maiti kuna kujua tena? kuna uhai tena? yaani muislamu akifa, yule anaemosha, yaani anaemkamua mavi, anaemtia kidole matakoni kuhakiki kama mavi yote yameisha, anamjua, maana kuna siri hapo kwenye kukamua, wanaambiwa wasitoe siri hiyo nje, kwa ushahidi huu
Kasema Mtume (S.a.w) “Anaeosha Maiti basi aanze kwa kumkamua” (Mkweli Mwaminifu, Juzuu ya 1-2 Hadithi Na. 423, Uk. 188)
 
423 Na muradi wa kukamua, si kama inavyokamuliwa nguo, la: bali analazwa chali, kisha anakalishwa nkitako na huku anakandamizwa kidogo kidogo tumboni kisha unamrejesha tena chali kisha unamuinua kumkalisha na mkono wako uwe tumbono mwake, unafanya hivyo mara tatu, kisha unamosha tena. Na ikiwa umemtoka uchafu wote tumboni kwa njia ya haja utupu wa nyuma, Bai useme kitu wala msimwambie mtu, ukitoa siri yake maiti basi hupati thawabu, na badili yake unapata madhambi.
 
Hapo kwenye usitoe siri ndipo penye kutiana vidole makalioni kwa maiti maana huwezi jua kama uchafu umeisha mpaka umtie kidole kwa pamba au kitambaa cheupe,uone umetoka uchafu wa rangi gani, maana miti yule kwa mujibu wa Muhammad, anajua kabisa fulani kanitia kidole matakoni, kwa hivyo muislamu akitoa siri hiyo basi anapata dhambi, badala ya thawabau. SASA TUJIULIZE, JE Maiti anakuwa na ufahamu wowote? anaejua yote hayo ni marehemu aliye hai? Msikilize Mfalme Sulemani anavyosema.
 
Muhubiri 9:5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa
 
Kwa ushauri wangu, waislamu msitishike na hao maiti wenu, hawajui lolote, kwa hivyo hizo siri tupeni manzowafanyia hao marehemu wenu.
البحث
الأقسام
إقرأ المزيد
OTHERS
Kwa Nini Niliacha Uislamu na Kumpokea Yesu?
Mutee'a Al-Fadi alikuwa ni Mwislamu mwenye msimamo mkali wa Wahabbi ambao alisomea kule Saudi...
بواسطة MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-23 09:30:32 0 5كيلو بايت
Injili Ya Yesu Kristo
Je, Mkristo anapaswa kufanya nini kama yeye ameolewa na asiyeamini?
Kuoleka na kafiri inaweza kuwa mojawapo ya changamoto ngumu sana katika maisha ya Mkristo. Ndoa...
بواسطة MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 21:09:51 0 5كيلو بايت
Injili Ya Yesu Kristo
KWA NINI YESU ALIVUNJA SABATO?
Ndugu msomaji, Hebu tuangalie mifano kadhaa hapa:   MFANO WA KWANZAYesu alipomponya mtu...
بواسطة MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:34:44 0 6كيلو بايت
NUMBERS
Verse by verse explanation of Numbers 17
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 24 questions at the...
بواسطة THE HOLY BIBLE 2022-01-24 14:58:31 0 5كيلو بايت
HOLY BIBLE
What does it mean that Jesus is the Son of God?
Jesus is not God’s Son in the sense of a human father and a son. God did not get married...
بواسطة MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 04:23:35 0 5كيلو بايت