KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA NA TABIA KAMA ZA WANAWAKE?

0
5KB
1. APAKA WANJA NA PODA KAMA WANAWAKE.
2. ACHUCHUMAA WAKATI WA HAJA NDOGO.
3. ALIVAA MAGAUNI YA WAKE ZAKE.
 
HUU NI MSIBA WA KUMALIZA MWAKA 2016 KWA WAISLAM.
Japo alikuwa mwanaume lakini Muhammad alikuwa na tabia kama za Wanawake,
 
Mfano Muhammad alikuwa anachuchumaa wakat anakojoa. Soma ushaidiL
Aisha Mke Wa Mtume Anasema "Mwenye kukuhadithieni kuwa Mtume Wa Allah (S.a.w) alikwenda haja Nnogo wima musimsadiki, (Mtume) Alikuwa hajisaidii Ila AMECHUCHUMAA"
 
Al'mugh'niy 1/156 Muhamad Pia Alikuwa Hataki Kuona Muislam Mwanaume Anakojoa Hali Amesimama.
 
Soma Sunan Ibn Majah 1/112 Hadith Na 309, "Mtume wa Allah aliniona najisaidia wima (Haja Ndogo) akasema: Ewe Umar, Usijisaidie Wima.
 
Sunan Ibn Majah, Hadith Na 309 Muhamad pia alikuwa anatembea Na KIOO Na WANJA,
 
ALIPAKA WANJA KAMA WANAWAKE:
Ukisoma maisha ya Muhamad kipengele cha Mavazi Na 26 "Muhammad alikuwa na Kitana Cha Pembe Akichania Nywele Zake, alikuwa na Mafuta Na ALIKUWA NA KIOO akijitazama na KICHUPA CHA WANJA ambao akijitia usiku usiku kabla ya kulala na alipenda sana kutumia Manukato..."
 
Sio Kawaida Mwanaume KUJIPAKA WANJA AU KUKOJOA HUKU AMECHUCHUMAA. LAKINI MUHAMMAD YEYE ALIPAKA WANJA KAMA WANAWAKE NA KUPAKA HINA NDEVU ZAKE. Hivi hii tabia ya kike aliipata wapi?
 
ALIVAA MAGAUNI YA AISHA:
From the English translation of the Sahih collection of Imam Muslim, Book 031, Number 5984:
 
Aisha mke wa Muhammad alisema: Nabii wa Mwenyezi Mungu alikuwa anapata ufunuo wakati amevaa nguo zangu au amejifunika ushingi wangu.
The Book Pertaining to the Merits of the Companions of the Holy Prophet (Kitab Al-Fada'il Al-Sahabah)
(http://www.usc.edu/…/fund…/hadithsunnah/muslim/031.smt.html…)
************
From the Sahih collection of Imam Muslim, Hadith Number 4472
Volume Title, “From the Virtues of the Companions.”
Chapter Title, “From the Virtues of Aisha.”
 
Imesimuliwa na al-Hassan ibn Ali al-Hilwani, ikasimuliwa na Abu Bakr ibn Nadir, ikasimuliwa na Abd ibn Hamid, ikapokelewa na Yakun ibn Ibrahim ibn Sa’d Ibn, ikasimuliwa na baba yake, ikasimuliwa na Salih ibn Shihab, ikasimuliwa na Muhammad ibn Abdel Rahman ibn Harith ibn Hisham akasema kuwa Aisha mke wa Nabii Muhammad alisema:
 
Mke wa Muhammad alimtuma Fatimah, na alipo ingia chumbani alikumkuta Nabii wa Allah amejilaza kitandani huku akiwa amevaa nguo za mkewe.
Source- http://hadith.al-islam.com/Display/Display.asp
 
MKRISTO MWENYE KUJITAMBUA HAWEZI KUFUATA MWANAUME MWENYE TABIA ZA KIKE.
 
HUU NI MSIBA MKUBWA SNA KWA MUHAMMAD KUPAKA WANJA, KUVAA GAUNI LA MKEWE NA KUKOJOA KAMA WANAWAKE.
Pesquisar
Categorias
Leia mais
JOB
Verse by verse explanation of Job 38
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 31 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-04-03 04:20:58 0 6KB
JUDGES
Verse by verse explanation of Judges 20
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 33 questions at the...
Por THE HOLY BIBLE 2022-01-25 11:17:40 0 6KB
URAFIKI KIBIBLIA
JE, MAAMUZI YA NANI ATAKUWA MWENZI WAKO WA MAISHA NI YA MUNGU AU YA KWAKO?
Mithali 19:14 “Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; bali mke mwenye busara mtu...
Por GOSPEL PREACHER 2021-11-23 07:28:14 0 6KB
MASWALI & MAJIBU
Je! Mtu Anapofunga Kwa Muda Wa SAA 24,Anapaswa Kunywa Maji Au Kitu Chochote?
JIBU: Biblia haijatoa masharti yoyote ya kufuata katika kufunga kwamba ufunge masaa 12 au 26...
Por GOSPEL PREACHER 2022-06-14 13:38:28 0 8KB
OTHERS
USHUHUDA: MWANASHERIA MKUU WA SHERIA ZA KIISLAM WA IRAKI AMPOKEA YESU
KUTOKA: KWENYE GIZA LA UDANGANYIFU WA KIISLAMU HADI: KWENYE NURU YA UTUKUFU WA YESU Ushuhuda wa...
Por MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 04:10:49 0 6KB