UNAJUA KWANINI WAISLAM WANAMSWALIA MUHAMMAD KILA SIKU?

0
5K
KWASABABU MUHAMMAD ALIKUFA NA DHAMBI NYINGI SANA KULIKO KIUMBE CHOCHOTE KILE.
 
Katika kitabu chake " mwisho mstari wa mbele " anaandika Reza Safa F inasema katika hadith ambapo mke wa Muhammad Khadija kumtaka kusamehe dhambi yake, Muhammad alimjibu kuwa hakuwa na uhakika wa kusamehewa dhambi zake mwenyewe! Angewezaje kusamehe dhambi yake?
 
MUHAMMAD AOMBA MSAMAHA MARA MIA KWA SIKU:
Katika "Sahih Muslim, Kitabu 35, 6522 Idadi" inasema kwamba Mtume Muhammad alikuwa mwenye dhambi kubwa sana kiasi cha kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu mara mia kila siku. "Nukuu"
 
Leo ni leo asemaye kesho ni mungo. Ndugu zanguni, kila ninapo usoma Uislam, nazidi kupata shaka kubwa kubwa, maana hakuna jema kabisa katika hii dini ya Muhammad na Jibri. Hivi mtu anaye omba msamaha mara mia kwa siku, unafikiri ametenda dhambi gani kiasi cha kuogopa namna hii?
 
"Al-Agharr al-Muzani, ambaye alikuwa mmoja wa (Mtume) wenzake taarifa kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (amani ilikuwa juu yake) alisema: Kuna (wakati mwingine) aina ya kivuli juu ya moyo wangu, na mimi kutafuta msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu mara mia kwa siku. "
 
Kumbuka kwamba utamaduni si tu anasema kwamba Muhammad alikuwa mwenye dhambi kubwa, lakini kwamba alijisikia kivuli, hisia mbaya, juu ya moyo wake. Katika kesi hii kwa Muhammad, itakuwa vigumu kwa sababu Qur'an inasema kuwa yeye ni kipaji katika maisha yake na vitendo:
 
Sasa, kivipi Muhammad alikuwa na kivuli ndani ya nyoyo yake?
Hii chuki aliipataje wakati yeye alikuwa anapokea wahyi kutoka kwa Allah?
Je, inawezekana kuwa hiyo wahyi ndio ilikuwa chuki iliyo jaa ndani ya nyoyo yake?

68: 4
Maisha yako na matendo yako ni `aa [mfano]. (Mohammed Knut Bernstöm, Qur'an)
Watu wote wamefanya dhambi
 
Biblia inasema kwamba watu wote wamefanya dhambi. Hii ni pamoja na Mtume Muhammad alikuwa mwenye dhambi kama watu wengine wote, lakini Muhammad yeye alikiri kuwa dhambi zake hazikusamehewa ingawa aliomba msamaha mara mia kwa siku.
 
Ndugu msomaji, kwanini tumfuate na sikiliza Muhammad aliye kiri kuwa dhambi zake hazikusamehewa?
 
Kwanini Allah alishindwa kumsamehe Muhammad dhambi zake?
Je, Allah anauwezo wa kusamehe dhambi?
Muhammad ndio mtume pekee aliye kufa na dhambi na Mshahara wa dhambi ni mauti ya Jehannam. Warumi 6:23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
 
Kwa sababu mwenye dhambi, amehukumiwa kufa.“Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti”(Warumi 6:23). Hii ina maana kutengwa na Mungu katika Jehanum milele.“Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu” (Waebrania 9:27).
 
Hivyo basi, kwanini ufe na dhambi kama Muhammad na utengwe na Mungu katika Jehannam?
 
Rafiki yangu:
Ninakuuliza swali muhimu maishani mwako. Furaha yako ya milele au huzuni yako ya milele inategemea jibu Ia swali hili. Swali ni hili:Je, umeokolewa? Si swali la jinsi ulivyo mwema, wala si swali la kama u mshiriki wa kanisa, bali:Je, umeokolewa? Una uhakika kwamba utaenda mbinguni utakapokufa?
 
Hakikisha kwamba umeokoka. Ukipoteza nafsi yako utapoteza mbingu na utapoteza vyote. Tafadhali, mruhusu Mungu akuokoe sasa hivi.
 
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
Love
1
Cerca
Categorie
Leggi tutto
OTHERS
VUNJA VIFUNGO, MAAGANO, NA MIKATABA YA KISHETANI MAISHANI MWAKO
Kutoka 23:32 ''Usifanye maagano pamoja nao, wala pamoja na miungu yao.'' Agano ni kitu kikubwa...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 04:23:50 0 6K
EXODUS
Verse by verse explanation of Exodus 37
Praise the Lord Jesus Christ, please study this chapter and then answer all 30 questions at the...
By THE HOLY BIBLE 2022-01-23 05:41:52 0 6K
OTHERS
JE, MUHAMMAD ALIROGWA?
Leo napenda Kumnukuu Mwalimu wangu Daniel Mwankemwa katika majawapo ya Makala ambayo anaelezea...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-24 22:53:13 0 5K
OTHERS
Kutoka Kwenye Uislamu Hadi Kwenye Ukristo
Jina langu ni Tahir na hii ni safari yangu kutoka kwenye Uislamu hadi kwenye Ukristo. Mara baada...
By MAX SHIMBA MINISTRIES 2021-12-22 04:07:45 0 5K
Altre informazioni
Top 2 Types of Voucher in Accounting (With Formats)
  The following points highlight the top two types of voucher in accounting. The types...
By PROSHABO ACCOUNTING 2022-03-29 20:38:07 0 8K