Je, Yesu alisema kuwa Yeye ni Mungu?
“Wahubiri wa injili” wa Kiislamu huwa wanapinga kuwa Yesu ni Mungu na unapowakatalia wanakwambia, “Lete andiko.” Maandiko yapo mengi sana ndani ya Biblia juu ya ukweli kwamba Yesu ni Mungu. Ni mengi mno! Ukishawapa andiko, wanabadilika na kusema, “Nataka maneno aliyoongea Yesu mwenyewe.” Hiki ni kigezo POTOFU na si cha kibiblia hata kidogo. Ukweli...
0 Комментарии 0 Поделились 5Кб Просмотры 0 предпросмотр