NGUVU KATIKA UDHAIFU – MUNGU ANAVYOWATUMIA WADHAIFU KUWASHINDISHA WENYE NGUVU
SEHEMU YA 1: UTANGULIZI – KINZANI NA MANTIKI YA DUNIA Dunia inafundisha: “Nguvu humzaa mafanikio.” Lakini Biblia inafundisha: “Mungu amevichagua vidhaifu vya ulimwengu ili kuviabisha vilivyo na nguvu” (1 Wakorintho 1:27). Mungu hafanyii kazi kwa sheria za wanadamu. Yeye anapenda kuchukua kilichoonekana kuwa cha kudharauliwa, kisicho na maana, na dhaifu, ili...
0 التعليقات 0 المشاركات 53 مشاهدة 0 معاينة