Utahesabiwa HAKI kwa IMANI yako isiyobadilika bali yenye msimamo thabiti ukijua unaemtumikia na kuzizingatia sheria,mausia na hukumu zake maana afanyaye hayo huyo ndio anampenda Mungu wala sio anayeimba sana wala kuhubiri sana usipokuwa sawa utajikuta unakuwa daraja wanavuka wenzio wewe unabaki hapo ukutane na ghazabu yake. MUNGU Sio wa mchezo wala adhihakiwi na hauwezi kumficha chochote na ndio maana utakachopanda ndicho utakachovuna....Be care maana sio wote wanaoita BWANA watarithi uzima wa milele kwa maana neno linasema uliitapo jina la BWANA na auache uovu,Na sio wote wanaozingatia hilo...BWANA YESU ATUSAIDIE SANA
Utahesabiwa HAKI kwa IMANI yako isiyobadilika bali yenye msimamo thabiti ukijua unaemtumikia na kuzizingatia sheria,mausia na hukumu zake maana afanyaye hayo huyo ndio anampenda Mungu wala sio anayeimba sana wala kuhubiri sana usipokuwa sawa utajikuta unakuwa daraja wanavuka wenzio wewe unabaki hapo ukutane na ghazabu yake. MUNGU Sio wa mchezo wala adhihakiwi na hauwezi kumficha chochote na ndio maana utakachopanda ndicho utakachovuna....Be care maana sio wote wanaoita BWANA watarithi uzima wa milele kwa maana neno linasema uliitapo jina la BWANA na auache uovu,Na sio wote wanaozingatia hilo...BWANA YESU ATUSAIDIE SANA
Like
Love
2
2 Comments 0 Shares 3K Views 0 Reviews