Mathayo 5:8-12

8.Heri wenye moyo safi; maana hao watamwona Mungu.9 Heri wapatanishi; maana hao wataitwa wana wa MUNGU.10 Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; maana ufalme wa mbinguni ni wao. 11 Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu. 12 Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyo waudhi manabii waliokuwa kabla yenu.
Mathayo 5:8-12 8.Heri wenye moyo safi; maana hao watamwona Mungu.9 Heri wapatanishi; maana hao wataitwa wana wa MUNGU.10 Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; maana ufalme wa mbinguni ni wao. 11 Heri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu. 12 Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo walivyo waudhi manabii waliokuwa kabla yenu.
Like
Love
2
1 Yorumlar 0 hisse senetleri 1K Views 0 önizleme