• Hizo Picha hapo zinakumbusha siku ya Muhimu sana katika Maisha yangu siku AMBAYO nimezaliwa upya YOHANA 1:12-13,Pia ni siku niliyozikwa na kufufuliwa katika Kristo Yesu.Kolosai 3:1-4,Efeso 2:4-7,.Bwana amenivusha Toka misri vyote vya misri vimezikwa,mimi sasa ni kiumbe kipya yakale yamekuwa mapya.Nami nitashinda ulimwengu huu uliojaa kila namna ya uovu.Neema ya Bwana inanipa uwezo wa kushinda ulimwengu kwasababu nimezaliwa upya Tito 2:11-12,Kila kilicho zaliwa na Mungu kitaushinda Ulimwengu.
    1 Yohana 5
    ⁴ Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu.
    ⁵ Mwenye kuushinda ulimwengu ni nani, isipokuwa ni yeye aaminiye ya kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu?
    ⁶ Huyu ndiye aliyekuja kwa maji na damu, Yesu Kristo; si katika maji tu, bali katika maji na katika damu.
    ⁷ Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli.
    ⁸ Kwa maana wako watatu washuhudiao
    [mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.TUMAINI LANGU LOTE NIMEWEKA KWAKO YESU
    MUNGU AWABARIKI SANA
    Hizo Picha hapo zinakumbusha siku ya Muhimu sana katika Maisha yangu siku AMBAYO nimezaliwa upya YOHANA 1:12-13,Pia ni siku niliyozikwa na kufufuliwa katika Kristo Yesu.Kolosai 3:1-4,Efeso 2:4-7,.Bwana amenivusha Toka misri vyote vya misri vimezikwa,mimi sasa ni kiumbe kipya yakale yamekuwa mapya.Nami nitashinda ulimwengu huu uliojaa kila namna ya uovu.Neema ya Bwana inanipa uwezo wa kushinda ulimwengu kwasababu nimezaliwa upya Tito 2:11-12,Kila kilicho zaliwa na Mungu kitaushinda Ulimwengu. 1 Yohana 5 ⁴ Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu. ⁵ Mwenye kuushinda ulimwengu ni nani, isipokuwa ni yeye aaminiye ya kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu? ⁶ Huyu ndiye aliyekuja kwa maji na damu, Yesu Kristo; si katika maji tu, bali katika maji na katika damu. ⁷ Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli. ⁸ Kwa maana wako watatu washuhudiao [mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.TUMAINI LANGU LOTE NIMEWEKA KWAKO YESU MUNGU AWABARIKI SANA
    Like
    Love
    6
    8 Kommentare 0 Geteilt 5KB Ansichten 0 Bewertungen
Gesponsert
[Repenting + Holiness = Entering Heaven / Kutubu + Utakatifu = Kuingia Mbinguni].