BWANA YUAJA TUWE TAYARI
Imetumwa 2024-01-06 16:59:17
0
5K
BWANA YUAJA TUWENI TAYARI
- BWANA_ANAKUJA_TUWE_TAYARI_Luka_12:35-48_inaelezea_mafundisho_ya_Yesu_juu_ya_umuhimu_wa_kuwa_tayari_na_waaminifu_katika_kutazamia_kurudi_kwake._Katika_muktadha_huu
- Yesu_anatumia_mfano_wa_mtumwa_mwaminifu_na_mwenye_busara_ambaye_anawekwa_na_bwana_wake_juu_ya_nyumba_yake_na_anawajibika_kuwapa_watumishi_wenzake_chakula_kwa_wakati_unaofaa._Yesu_anasisitiza_umuhimu_wa_kuwa_macho_na_tayari_kwa_kurudi_kwake
- kwa_sababu_hatujui_wakati_atakaporudi._Anawahimiza_wanafunzi_wake_kuwa_waaminifu_na_wenye_busara_katika_jukumu_lao_la_kuwatumikia_wengine_na_kusimamia_mali_za_Mungu._Katika_mfano_huo
- Yesu_anaelezea_kwamba_mtumwa_mwaminifu_na_mwenye_busara_atabarikiwa_na_bwana_wake_na_atapewa_jukumu_kubwa_zaidi._Lakini_mtumwa_asiye_mwaminifu_na_mwenye_uzembe_atapata_adhabu_kali._Ufafanuzi_wa_Luka_12:35-48_ni_kwamba_tunapaswa_kuwa_tayari_na_waaminifu_katika_kutazamia_kurudi_kwa_Yesu._Tunapaswa_kuwa_macho_na_kujitayarisha_kwa_wakati_wowote_atakaporudi._Tunapaswa_kuwa_waaminifu_katika_jukumu_letu_la_kuwatumikia_wengine_na_kusimamia_mali_za_Mungu._Tunapaswa_kuwa_waaminifu_na_wenye_busara_ili_tupate_thawabu_na_baraka_kutoka_kwa_Mungu_wetu._Kumbuka_kuna_watu_wamepewa_vingi_kama_vile_karama_ya_unabii
- uponyaji
- ushauri
- uimbaji
- na_pia_siyo_hiyo_tu_amepewa_na_uwezo_wa_mali_hivyo_Siku_ya_Bwana_hivyo_vyote_vitatakwa_na_faida_juu_hivyo_kila_mmoja_anapaswa_kufanyia_kazi_kile_alichopewa_na_Bwana_Yesu_na_kumzalia_Bwana_faida
- Mfano_Yesu_alimwambia_petro_alitunze
- alilishe_na_kulichunga_kundi_la_Bwana
- hivyo_wewe_kama_mhubiri_wa_injili_basi_hubiri_kwa_juhudi_zote_bila_kuangalia_faida_au_sadaka_kwani_malipo_yake_ni_kwa_Bwana_Yesu_Kristo
- wewe_ambaye_ni_mwimbaji_imba_sana_katika_usafi_wote_.Wewe_uliyejaliwa_kuponya_basi_ondoa_majivuno_saidia_kundi_la_Bwana_Yesu._Kila_mmoja_asimamie_nafasi_yake_maana_Bwana_yu_karibu_kurudi_na_kuja_kwake_ni_ghafla_hivyo_uwe_tayari_wakati_wote_huku_ukidumu_katika_utakatifu_ndiyo_maana_ameseme_kazeni_viuno_vyenu_maana_yake_vaeni_utayari_na_hakikisheni_taa_zenu_hazi_zimiki_na_tunajua_taa_ni_Neno_la_Mungu_(ZABURI_119:105)_Hivyo_utayari_wetu_upo_katika_kudumu_katika_Neno_la_Mungu_la_kweli_na_kutenda_yale_yote_ambayo_Neno_la_Bwana_linatuelekeza_kuyafanya
- Neno_linatutaka_kuwa_watakatifu_kimwili_na_kiroho_pia_tumpende_Mungu_kwa_nguvu_zetu_zote_kwa_mioyo_yetu_yote
- kwa_akili_zetu_zote_na_kwa_zetu_zote
- Pia_kumpenda_jirani_zetu_kama_nafsi_zetu
- huku_tukiwa_tumejazwa_Roho_mtakatifu_ambaye_ndiye_mafuta_atakaye_chochea_taa_kuwaka_isizimike_kumbuka_chemli_bila_mafuta_haiwezi_kuwaka_yaani_kuwa_na_Neno_tu_bila_kujazwa_Roho_mtakatifu_ni_sawa_na_balbu_bila_umeme
- chemli_bila_mafuta
- hiyo_taa_hawezi_kuwaka_(Mathayo_25:1-13)
- Bila_ROHO_MTAKATIFU_hatuwezi_kuzishinda_tamaa_za_mwili
- ndiyo_maana_utakuta_mlevi_anaeza_kukariri_vifungu_vya_Biblia_lakini_hilo_Neno_halitendei_kazi
- wengine_hutumia_hilo_Neno_kutongoza
- wengine_kuwaumiza_wengine_na_kuwapotosha_ni_sawa_na_mafarisayo_wamejaa_torati_lakini_unafiki_umewatawala_hivyo_Neno_wanalo_lakini_uweza_ule_utokao_juu_yaani_ROHO_MTAKATIFU_hawana_ndiyo_maana_Neno_linasema_mtakeni_Bwana_pamoja_na_nguvu_zake_yaani_kulitaka_tu_Neno_bila_kipawa_cha_Roho_mtakatifu_ni_bure._Tafuta_kumjua_Bwana_na_kisha_kujazwa_Roho_mtakatifu_ambaye_yeye_ndiye_atakaye_kufunulia_maandiko_upate_kuyajua_(Mathayo._22:29
- Luka_24:45)_Ubarikiwe_sana_(MARAN_ADHA=BWANA_ANAKUJA)
Tafuta
Vitengo
- BIBLICAL FINANCIAL EDUCATION
- SPIRITUAL EDUCATION
- MASWALI & MAJIBU
- WORLD'S EDUCATION
- MAHUSIANO KIBIBLIA
- Injili Ya Yesu Kristo
- OTHERS
Soma Zaidi
BIBLIA NA URAFIKI, UCHUMBA HADI NDOA
Bila shaka utaungana nami kuwa hakuna kipindi kinachosumbua katika maisha kama kipindi cha ujana,...
URAIA WA MBINGUNI.
Bwana Yesu asifiwe…
Kwa ufupi;
Ni vyema tukajifunza kuhusu uraia lakini uraia wa mbinguni...
HIZI NI TABIA HATARISHI KWA MWANAMKE KATIKA MAHUSIANO: UCHUMBA HADI NDOA
KWELI KUU: Tabia ni msingi na kielelezo cha mahusiano bora ya aina yoyote na hasa yale ya uchumba...
VUNJA VIFUNGO, MAAGANO, NA MIKATABA YA KISHETANI MAISHANI MWAKO
Kutoka 23:32 ''Usifanye maagano pamoja nao, wala pamoja na miungu yao.''
Agano ni kitu...
Debit Voucher, Credit Voucher, and Transfer Voucher
Voucher is the supporting documents that accountants use as the summary to record into the...