WELCOME / KARIBU
Thank you for joining us (Asante kwa kujiunga nasi)
- PLEASE, Learn more, and be blessed.
- TAFADHALI, Jifunze zaidi, na ubarikiwe.
Promoted Posts
Please log in to like, share and comment!
-
Kusudi la Yesu kufa zaidi aokoe roho zetu ziwe na nafasi Tena ya kumuabudu na kumtukuza MUNGU milele yote mbinguni.roho zetu zitakapovishwa miili mipya isiyo na magonjwa Wala kusikia njaa.
Jitahidi bado kitambo TU,VUMILIA NDUGU TUOKOKE.Kusudi la Yesu kufa zaidi aokoe roho zetu ziwe na nafasi Tena ya kumuabudu na kumtukuza MUNGU milele yote mbinguni.roho zetu zitakapovishwa miili mipya isiyo na magonjwa Wala kusikia njaa. Jitahidi bado kitambo TU,VUMILIA NDUGU TUOKOKE.0 Comments 0 Shares 319 Views 0 Reviews1
-
TUNDA LA ROHO: UPOLE “Nguvu Iliyowekwa Chini ya Utawala wa Mungu”Fungu Kuu: “Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.” — Galatia 5:22-23 UTANGULIZI Miongoni mwa matunda yote ya Roho Mtakatifu, upole ni moja ya yale yanayoeleweka vibaya zaidi. Watu wengi hudhani kwamba mtu mpole ni mtu dhaifu, mwoga, asiyeweza kujitetea, au...0 Comments 0 Shares 658 Views 0 Reviews
-
HATARI YA KUHUBIRI WENGINE LAKINI KUWA MKATALIWA – FUNGUO LA YOHANA 4:23Andiko Kuu: Yohana 4:23 – “Lakini wakati unakuja, na upo sasa, hapo waabuduo wa kweli watamwabudu Baba kwa roho na kweli; kwa maana Baba huwatafuta waabuduo wa namna hiyo.” Maudhui: Uhusiano kati ya ibada ya kweli na utume wa kuhubiri injili. UTANGULIZI: UHAKIKA WA KUWA MWEPESI KIIMANI KATIKA KUHUBIRI Katika Kristo, kuna kundi la watu hatari zaidi...0 Comments 0 Shares 562 Views 0 Reviews
-
NGUVU KATIKA UDHAIFU – MUNGU ANAVYOWATUMIA WADHAIFU KUWASHINDISHA WENYE NGUVUSEHEMU YA 1: UTANGULIZI – KINZANI NA MANTIKI YA DUNIA Dunia inafundisha: “Nguvu humzaa mafanikio.” Lakini Biblia inafundisha: “Mungu amevichagua vidhaifu vya ulimwengu ili kuviabisha vilivyo na nguvu” (1 Wakorintho 1:27). Mungu hafanyii kazi kwa sheria za wanadamu. Yeye anapenda kuchukua kilichoonekana kuwa cha kudharauliwa, kisicho na maana, na dhaifu, ili...0 Comments 0 Shares 616 Views 0 Reviews
-
2 Comments 0 Shares 429 Views 0 Reviews
-
https://www.youtube.com/shorts/UB8mWZE_CvU
0 Comments 0 Shares 351 Views 0 Reviews -
HAIRISHA MAZISHI YAO! (Kufufuka kwa Mwana wa Mjane wa Naini – Luka 7:11-17)SEHEMU YA KWANZA: UTANGULIZI – MKUTANO KATIKA NJIA Somo la msingi: Luka 7:11-12 "Baada ya hayo, Yesu alikwenda mji uitwao Naini; wanafunzi wake na mkutano mkubwa walifuatana naye. Alipokaribia lango la mji, tazama, walikuwa wamemtoka pale mtu aliyekufa, mwana pekee wa mama yake, naye mama yake alikuwa mjane; na mkutano mkubwa wa watu wa mji huo walikuwa pamoja naye."...0 Comments 0 Shares 422 Views 0 Reviews
-
UPAKO NA UTISHO WA MUNGU – NGUZO YA KUTETEMESHA MATAIFA NA KUVUNJA MAMBO YA KIZAZI CHA ZINAAMstari wa kufungua:“Bwana atawatawala mataifa; Bwana atawaponda watawala wa dunia; atawafanya watetemeke, na kuwachukua kama udongo” (Zaburi 110:5-6, tafsiri huru). SEHEMU YA KWANZA: UTANGULIZI WA KINAFSI – KWA NINI KIZAZI HIKI KINAHITAJI UTISHO? Kizazi cha leo: Hakiamini katika Mungu mwenye hasira au hukumu. Kinamwona Mungu kama “rafiki wa...1 Comments 0 Shares 464 Views 0 Reviews
-
0 Comments 0 Shares 267 Views 0 Reviews
-
BIASHARA 10 AMBAZO ZIPO CHINI YA GHADHABU YA MUNGU NA HAUPASWI KUZIFANYABiashara ni shughuli ya kiuchumi inayomwongezea mtu kipato na kuondoa umaskini. Kuna Biblia zinazotoka kwa Bwana Yesu Kristo na Kuna Biashara Zinazotoka kwa shetani. Biashara Zinazotoka kwa shetani huwa Kuna bidhaa zinampeleka mtu Jehanamu ya moto akizitumia kwa kujua au kutojua .Kuna Biashara ukifanya...0 Comments 0 Shares 457 Views 0 Reviews
More Stories